Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Dkt Dugange: Miradi ya maendeleo izingatie hifadhi ya mazingira
Mar 25, 2026
Dkt Dugange: Miradi ya maendeleo izingatie hifadhi ya mazingira
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange akipata maelezo kutoka kwa mbunifu Prof. Andrew Baron wa chuo Kikuu cha RICE, Uingereza kuhusu mtambo wa haidrojeni baada ya kuuzindua katika Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Machi 25, 3026 katika ufunguzi wa Kongamano la Wadau wa Mazingira kuhusu Nishati safi aina ya Haidrojeni.
Na Robert Hokororo

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange akiwasili katika Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Machi 25, 2026 katika ufunguzi wa Kongamano la Wadau wa Mazingira kuhusu Nishati safi aina ya Haidrojeni.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi