Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Mhe. Florent Kyombo akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua Taasisi za Muungano zilizopo Zanzibar leo Februari 19, 2025. Kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja.
Read More