Naibu Waziri Khamis: Nishati safi ya kupikia itapunguza ukataji wa miti
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akijibu maswali katika Kikao cha 20 Mkutano wa 15 wa Bunge jijini jijini Dodoma leo tarehe…
Serikali yahimiza ulinzi tabaka la ozoni kupunguza joto duniani
Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Kemilembe Mutasa (katikati) akizungumza na baadhi ya mafundi mchundo wa viyoyozi na majokofu wa jijini Dar es Salaam wakati akifungua…
‘Fedha za Mfuko wa Jimbo zimeleta matokeo chanya katika Muungano’
Fedha za Mfuko wa Jimbo zimeendelea kuleta tija na matokeo chanya katika kuimarisha na kukuza uchumi ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ujumla na hivyo kuleta manufaa kwa…
Serikali yabuni miradi ya kimazingira kuhimili mabadiliko ya tabianchi
Serikali imesema imebuni miradi mbalimbali ya kimazingira inayosaidia jamii kuweza kuhimili athari za mabadiliko ya tabianchi katika maeneo mbalimbali nchini. Pamoja na hatua hizo pia, imeendelea kuihimiza jamii kutumia nishati…
Makamu wa Rais akabidhiwa kitabu cha safari ya Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikabidhiwa Kitabu cha Safari ya Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Picha na Balozi…
Katibu Mkuu Luhemeja ateta na watumishi Ofisi ya Makamu wa Rais, NEMC
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja amekutana na kufanya kikao kazi na watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais pamoja na Baraza la Taifa la Hifadhi…
Viongozi wa dini watakiwa kutoa mafundisho ulinzi wa mazingira
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda (wa pili…
Mhandisi Luhemeja akutana na Menejimenti ya Ofisi ya Makamu wa Rais, NEMC
atibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja (kulia) akifuatilia wasilisho la taarifa ya Sehemu ya Udhibiti wa Ucuafuzi wa Mazingira kutoka kwa Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira…
Dkt. Mpango: Serikali kuendelea kuhuisha viwango vya mishahara
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia Viongozi na Wafanyakazi kutoka Wizara, Taasisi za Serikali na Binafsi wakati wa Maadhimisho ya Siku ya…
Makamu wa Rais akipowapokea Wafanyakazi na Ujumbe wao Mei Mosi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwapungia mkono Wafanyakazi wakati wakipita mbele ya Jukwaa Kuu katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika…