Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Balozi Luvanda afungua mafunzo ya PEPMIS kwa watumishi Ofisi ya Makamu wa Rais
Jul 17, 2026
Balozi Luvanda afungua mafunzo ya PEPMIS kwa watumishi Ofisi ya Makamu wa Rais
Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) ,Ofisi ya Makamu wa Rais, Balozi Baraka Luvanda kwa niaba ya Katibu Mkuu, Dkt. Richard Muyungi akifungua mafunzo kuhusu matumizi ya Mfumo wa e-Utendaji (PEPMIS), yaliyofanyika Julai 17, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dodoma.
Na Robert Hokororo

Watumishi Ofisi ya Makamu wa Rais wakishiriki mafunzo kuhusu matumizi ya Mfumo wa e-Utendaji (PEPMIS), yaliyofanyika Julai 17, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dodoma. 

Watumishi Ofisi ya Makamu wa Rais wakishiriki mafunzo kuhusu matumizi ya Mfumo wa e-Utendaji (PEPMIS), yaliyofanyika Julai 17, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dodoma. 

Watumishi Ofisi ya Makamu wa Rais wakishiriki mafunzo kuhusu matumizi ya Mfumo wa e-Utendaji (PEPMIS), yaliyofanyika Julai 17, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dodoma. 

===================================================================================================================

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) ,Ofisi ya Makamu wa Rais, Balozi Baraka Luvanda kwa niaba ya Katibu Mkuu, Dkt. Richard Muyungi amefungua mafunzo kuhusu matumizi ya Mfumo wa e-Utendaji (PEPMIS), yaliyofanyika Julai 17, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dodoma. Mafunzo hayo yaliwezeshwa na wataalamu kutoka Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, yakilenga kuimarisha uelewa na matumizi bora ya mfumo huo katika usimamizi wa utendaji kazi serikalini.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi

slot gacor