Watumishi Ofisi ya Makamu wa Rais washiriki mazoezi
Jul 18, 2026
Watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais wakishiriki mazoezi ya pamoja katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Dodoma leo, Julai 18, 2026, ikiwa ni utaratibu wa kuendeleza afya njema, kuongeza tija na kuimarisha mshikamano kazini.
Na
Robert Hokororo
Watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais wakishiriki mazoezi ya pamoja katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Dodoma leo, Julai 18, 2026, ikiwa ni utaratibu wa kuendeleza afya njema, kuongeza tija na kuimarisha mshikamano kazini.