Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Makamu wa Rais aongoza mapokezi ya Rais Dkt Samia
Jun 06, 2026
Makamu wa Rais aongoza mapokezi ya Rais Dkt Samia
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, leo tarehe 06 Juni 2026, akiongoza mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, baada ya kuhitimisha Ziara ya Kitaifa nchini Urusi kufuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Mhe. Vladmir Putin.
Na Robert Hokororo

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi

slot gacor