Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Rais Dkt Samia amuapisha Naibu Katibu - Muungano
Jul 27, 2026
Rais Dkt Samia amuapisha Naibu Katibu - Muungano
Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Latifa Mohammed Khamis kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Tunguu Zanzibar, tarehe 27 Julai, 2026.
Na Robert Hokororo

Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Latifa Mohammed Khamis kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Tunguu Zanzibar, tarehe 27 Julai, 2026.

Dkt. Latifa Mohammed Khamis na Viongozi wengine Wateule wakiapa kiapo cha uadilifu kwa Viongozi wa Umma kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Tunguu Zanzibar, tarehe 27 Julai, 2026. Dkt. Latifa ameapishwa kuwa Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi

slot gacor