Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Masauni: Mpango kazi Uchumi wa Buluu kunufaisha wananchi
Apr 16, 2026
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akiongoza kikao cha Kamati ya Mawaziri wa sekta zenye mnasaba wa masuala ya uchumi wa buluu kilichofanyika jijini Dodoma Aprili 16, 2026. Kushoto ni Naibu Waziri wake Mhe. Reuben Kwagilwa.
Na Robert hokororo

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa akichangia wakati wa kikao cha Kamati ya Mawaziri wa sekta zenye mnasaba wa masuala ya uchumi wa buluu kilichofanyika jijini Dodoma Aprili 16, 2026.

Mawaziri na Naibu Mawaziri wa sekta zenye mnasaba wa masuala ya uchumi wa buluu wakifuatilia kikao cha kuwasilisha mpango kazi na taarifa ya utekelezaji wa shughuli katika sekta hiyo kilichofanyika jijini Dodoma Aprili 16, 2026.

Mawaziri na Naibu Mawaziri wa sekta zenye mnasaba wa masuala ya uchumi wa buluu wakifuatilia kikao cha kuwasilisha mpango kazi na taarifa ya utekelezaji wa shughuli katika sekta hiyo kilichofanyika jijini Dodoma Aprili 16, 2026.

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akitoa neno la utangulizi wakati wa kikao cha Kamati ya Mawaziri wa sekta zenye mnasaba wa masuala ya uchumi wa buluu kwa ajili ya kuwasilisha mpango kazi na taarifa ya utekelezaji wa shughuli katika sekta hiyo kilichofanyika jijini Dodoma Aprili 16, 2026.

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi