
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (kulia) akishiriki Kikao cha Tisa cha Mkutano wa Tatu Bunge la 13 jijini Dodoma leo Aprili 15, 2026.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza Johari akizungumza na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa wakati wa Kikao cha Tisa cha Mkutano wa Tatu Bunge la 13 jijini Dodoma leo Aprili 15, 2026.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, uratibu na Wenye Ulemavu) Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akimsikiliza Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa wakati wa Kikao cha Tisa cha Mkutano wa Tatu Bunge la 13 jijini Dodoma leo Aprili 15, 2026.