Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Matukio ya Viongozi wa Ofisi ya Makamu wa Rais bungeni
Apr 20, 2026
Matukio ya Viongozi wa Ofisi ya Makamu wa Rais bungeni
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa (kulia) akizungumza na Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Kundo Mathew wakati wa kikao cha Bunge jijini Dodoma leo Aprili 20, 2026.
Na Robert Hokororo

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akiwa na Mbunge wa Jimbo la Mwibara Mhe. Kangi Lugola walipokutana kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma leo Aprili 20, 2026.  

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi