
Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Makamu wa Rais wakiwasili bungeni tayari kwa ajili ya kusikiliza hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2026/27, inayowasilishwa leo Aprili 21, 2026 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni.





Wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Makamu wa Rais wakiwasili bungeni tayari kwa ajili ya kusikiliza hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2026/27, inayowasilishwa leo Aprili 21, 2026 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni.