Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Naibu Waziri Kwagilwa aongoza Kikao cha Wakuu wa Taasisi za Muungano
Sep 19, 2026
Naibu Waziri Kwagilwa aongoza Kikao cha Wakuu wa Taasisi za Muungano
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa akiongoza kikao cha Wakuu wa Taasisi za Muungano, kilichofanyika Ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar leo tarehe 19 Septemba 2026.
Na Robert Hokororo

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa akizungumza wakati wa kikao cha Wakuu wa Taasisi za Muungano, kilichofanyika Ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar leo tarehe 19 Septemba 2026.

Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Latifa Mohammed Khamis  akizungumza wakati wa kikao cha Wakuu wa Taasisi za Muungano, kilichofanyika Ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar leo tarehe 19 Septemba 2026.

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Dkt. Islam Seif Salum akizungumza wakati wa kikao cha Wakuu wa Taasisi za Muungano, kilichofanyika Ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar leo tarehe 19 Septemba 2026.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi

slot gacor