
Naibu Katibu Mkuu (Mazingira), Ofisi ya Makamu wa Rais, Balozi Baraka Luvanda (kulia) pamoja na Mkurugenzi Idara ya Sera na Mipango, Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Said Mabie wakiwasili Bungeni leo jioni Aprili 21, 2026 ambapo Ofisi ya Makamu wa Rais katika Kikao cha 13 cha Mkutano wa Tatu wa Bunge la 13 imewasilisha hotuba ya Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2026/27.

Naibu Katibu Mkuu (Muungano), Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Mitawi (kushoto) pamoja na Naibu Katibu Mkuu (Mazingira), Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Baraza Luvanda wakiwa katika viunga vya Bunge, tayari kwa ajili ya kuingia bungeni kusikiliza hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2026/27, inayowasilishwa leo Aprili 21, 2026 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni.