Balozi Luvanda aapishwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Mazingira
Feb 09, 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Balozi Baraka Haran Luvanda kuwa Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo Februari 09, 2026
Na
Robert Hokororo
Balozi Baraka Haran Luvanda akiapishwa kuwa Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo Februari 09, 2026.