
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akisikiliza maelezo mbalimbali wakati alipotembelea banda la mdhamini mkuu wa Maonesho ya Maonesho ya Kimataifa ya Nane Nane kwa mwaka 2026 ambaye ni Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho yanayofanyika katika Viwanja vya John Malecela, Nzuguni Jijini Dodoma, tarehe 03 Agosti 2026.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na Viongozi mbalimbali wakaitembelea maeneo mbalimbali ya Maonesho ya Kimataifa ya Nane Nane kwa mwaka 2026 yanayofanyika katika Viwanja vya John Malecela, Nzuguni Jijini Dodoma, tarehe 03 Agosti 2026.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na Viongozi mbalimbali wakaitembelea maeneo mbalimbali ya Maonesho ya Kimataifa ya Nane Nane kwa mwaka 2026 yanayofanyika katika Viwanja vya John Malecela, Nzuguni Jijini Dodoma, tarehe 03 Agosti 2026.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na Viongozi mbalimbali wakaitembelea maeneo mbalimbali ya Maonesho ya Kimataifa ya Nane Nane kwa mwaka 2026 yanayofanyika katika Viwanja vya John Malecela, Nzuguni Jijini Dodoma, tarehe 03 Agosti 2026.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na Viongozi mbalimbali wakaitembelea maeneo mbalimbali ya Maonesho ya Kimataifa ya Nane Nane kwa mwaka 2026 yanayofanyika katika Viwanja vya John Malecela, Nzuguni Jijini Dodoma, tarehe 03 Agosti 2026.