Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Ofisi ya Makamu wa Rais yatoa Elimu Maonesho ya Nanenane Dodoma
Aug 01, 2026
Ofisi ya Makamu wa Rais yatoa Elimu Maonesho ya Nanenane Dodoma
Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira, Ofisi ya Makamu wa Rais, Thomas Chali (kushoto), akitoa elimu ya mazingira kwa wananchi waliotembelea banda la Ofisi ya Makamu wa Rais katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo (Nane Nane) yanayofanyika jijini Dodoma, leo Agosti 1, 2026, siku ya ufunguzi rasmi wa maonesho hayo.
Na Robert Hokororo

Wananchi mbalimbali waliotembelea banda la Ofisi ya Makamu wa Rais leo, Agosti 1, 2026, katika siku ya ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane jijini Dodoma, walipata fursa ya kujifunza kuhusu masuala ya Muungano, Uhifadhi wa Mazingira na Uchumi wa Buluu

Wananchi mbalimbali waliotembelea banda la Ofisi ya Makamu wa Rais leo, Agosti 1, 2026, katika siku ya ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane jijini Dodoma, walipata fursa ya kujifunza kuhusu masuala ya Muungano, Uhifadhi wa Mazingira na Uchumi wa Buluu

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi

slot gacor