



============================================================================================
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi aamekutana na kufanya mazungumzo na wadau wa Uhifadhi na Utunzaji wa Mazingira kutoka Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya ‘Kazzi Group’ ambao wameonesha nia katika kuunga mkono juhudi za Serikali katika Uhifadhi na Utunzaji wa Mazingira, jijini Dodoma Februari 5,2025.