Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Makamu wa Rais amtembelea Mama Janeth Magufuli Chato
Mar 17, 2026
Makamu wa Rais amtembelea Mama Janeth Magufuli Chato
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na Mama Janeth Magufuli ambaye ni mjane wa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, wakati alipomtembelea katika makazi yake Chato mkoani Geita, leo tarehe 16 Machi 2026.
Na Robert Holororo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na Mama Janeth Magufuli ambaye ni mjane wa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, wakati alipomtembelea katika makazi yake Chato mkoani Geita, leo tarehe 16 Machi 2026. 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi