




=================================================================================
Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Baraka Luvanda akiwasili rasmi katika Ofisi ya Makamu wa Rais iliyopo Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Februari 12, 2026 baada ya kuapishwa Ikulu, Dar es Salaam hivi karibuni.
Akizungumza na watumishi wa Ofisi hiyo, Balozi Luvanda amesisitiza kuhusu suala la ushirikiano katika kazi itasaidia kufanikisha kutimiza lengo la ofisi.