



Watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais wakipatiwa Mafunzo kuhusu masuala ya kiutumishi yakiwemo Taratibu za Utumushi wa Umma, Maadili na Itifaki katika Utumishi wa Umma.
Mafunzo yametolewa na Mtaalamu kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Oswin Mkinga, katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais Mtumba jijini Dodoma Agosti 20, 2026.