Watumishi wa Ofisi ya Makamu wafanya ,mazoezi ya viungo
Feb 14, 2026
Watumishi Ofisi ya Makamu wa Rais wakiwa katika mazoezi yaliyofanyika Uwanja wa Shule ya Sekondari Dodoma, Februari 14, 2026, ikiwa moja ya kuimarisha afya ya mwili.
Na
Robert Hokororo
Watumishi Ofisi ya Makamu wa Rais wakiwa katika mazoezi yaliyofanyika Uwanja wa Shule ya Sekondari Dodoma, Februari 14, 2026, ikiwa moja ya kuimarisha afya ya mwili.