Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Waziri Masauni, Balozi wa Qatar wateta ushirikiano katika mazingira
Feb 16, 2026
Waziri Masauni, Balozi wa Qatar wateta ushirikiano katika mazingira
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akifanya mazungumzo na Balozi wa Qatar Nchini Tanzania Mhe. Fahad Rashid Al-Marekhi, Februari 16, 2026, Jijini Dar ES Salaam. Lengo kuu la ziara hiyo lilikuwa kujadili maeneo ya ushirikiano kati ya Tanzania na Qatar katika suala la Uhifadhi na Utunzaji wa Mazingira.
Na Administrator

====================================================================================================

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar Nchini Tanzania Mhe. Fahad Rashid Al-Marekhi, Februari 16, 2026, Jijini Dar ES Salaam. Lengo kuu la ziara hiyo lilikuwa kujadili maeneo ya ushirikiano kati ya Tanzania na Qatar katika suala la Uhifadhi na Utunzaji wa Mazingira.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi