Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Waziri Masauni, Balozi wa Saudia wajadiliana kuhusu hifadhi ya mazingira
Feb 16, 2026
Waziri Masauni, Balozi wa Saudia wajadiliana kuhusu hifadhi ya mazingira
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania Mhe. Yahya Bin Ahmed Okeish, jijini Dar es Salaam, Februari 16, 2026, lengo la kukutana viongozi hao ni kuhusu Uhifadhi na Utunzaji wa Mazingira.
Na Robert Hokororo

===================================================================================

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania Mhe. Yahya Bin Ahmed Okeish, jijini Dar es Salaam, Februari 16, 2026, lengo la kukutana viongozi hao ni kuhusu Uhifadhi na Utunzaji wa Mazingira.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi