
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kituo cha Taifa cha Usimamizi wa Kaboni NCMC Dkt. Albina Chuwa akizungumza wakati wa kikao cha kwanza cha Bodi hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo Khamis Hamza Khamis na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi.


Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kituo cha Taifa cha Usimamizi wa Kaboni (NCMC) Dkt. Albina Chuwa (wa pili kulia) na wajumbe na menejimenti mara baada ya kikao cha kwanza cha Bodi hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027.