Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu Rasmi ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Balozi Luvanda ashiriki mazoezi ya watumishi Ofisi ya Makamu wa Rais
May 16, 2026
Balozi Luvanda ashiriki mazoezi ya watumishi Ofisi ya Makamu wa Rais
Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Balozi Baraka Luvanda akiwaongoza watumishi katika mazoezi ya mwili yaliyofanyika leo Mei 16, 2026, katika uwanja wa Shule ya Sekondari Dodoma pamoja na kusisitiza watumishi kuendelea kushiriki mazoezi hayo kwa ajili ya kuimarisha afya, ustawi na mshikamano kazini.
Na RTobert Hokororo

Picha na Matukio mbalimbali ya watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, katika ushiriki wa mazoezi ya pamoja kwa lengo la  kuimarisha afya yaliyofanyika leo Mei 16,2026, jijini Dodoma.

Picha na Matukio mbalimbali ya watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, katika ushiriki wa mazoezi ya pamoja kwa lengo la  kuimarisha afya yaliyofanyika leo Mei 16,2026, jijini Dodoma.

Picha na Matukio mbalimbali ya watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, katika ushiriki wa mazoezi ya pamoja kwa lengo la  kuimarisha afya yaliyofanyika leo Mei 16,2026, jijini Dodoma.

Picha na Matukio mbalimbali ya watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, katika ushiriki wa mazoezi ya pamoja kwa lengo la  kuimarisha afya yaliyofanyika leo Mei 16,2026, jijini Dodoma.

Picha na Matukio mbalimbali ya watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, katika ushiriki wa mazoezi ya pamoja kwa lengo la  kuimarisha afya yaliyofanyika leo Mei 16,2026, jijini Dodoma.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi

slot gacor