
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Latifa Mohammed Khamis mara baada ya uapisho wa Viongozi uliyofanyika Ikulu ndogo, Tunguu Zanzibar, tarehe 27 Julai 2026.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, pamoja na Naibu Waziri wa Ofisi hiyo, Mhe. Reuben Kwagilwa, wameshiriki katika hafla ya kuapishwa kwa Naibu Katibu Mkuu (Muungano), Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Latifa Mohamed Khamis, na Naibu Katibu Mkuu (Mazingira), Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Maduhu Isaac Kazi, iliyofanyika leo, Julai 27, 2026, Ikulu Zanzibar.
Viongozi hao waliapishwa mara baada ya kuteuliwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kushika nyadhifa hizo.

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akiwa na Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Dkt. Maduhu Kazi wakiwa katika hafla ya uapisho leo, Julai 27, 2026, Ikulu Zanzibar.
Viongozi hao waliapishwa mara baada ya kuteuliwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kushika nyadhifa hizo