Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wakati akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita, leo Machi 16, 2026 ambapo atakuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Kumbukizi ya Miaka Mitano ya Kifo cha Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, itakayofanyika kesho Machi 17, 2026 Chato mkoani Geita.
Read More