Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Reuben Kwagilwa (kushoto), akipokelewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi, alipowasili Ofisi ya Makamu wa Rais zilizopo, Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, Aprili 9, 2026 mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Aprili 8, 2026
Read More