Wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani (WED 2026) wakijadiliana maandalizi kuelekea Siku ya Mazingira Duniani, ambayo hufanyika tarehe 5 Juni kila mwaka. Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 4 Mei 2026, katika Ofisi za Makamu wa Rais, zilizopo Mtumba Jijini Dodoma.
Read More