Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Balozi Baraka Luvanda (kushoto) akizungumza na wadau wa Mazingira leo tarehe 15 Aprili 2026 katika Ofisi za Makamu wa Rais, Mtumba – Dodoma, kuhusu fursa za ushirikiano katika maendeleo ya biashara ya kaboni na utekelezaji wa miradi ya nishati safi ya kupikia kwa ajili ya kulinda mazingira na kuchochea maendeleo endelevu. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Kanizio Manyika.
Read More