Watumishi Ofisi ya Makamu wa Rais wakiwa katika mazoezi yaliyofanyika Uwanja wa Shule ya Sekondari Dodoma, Februari 14, 2026, ikiwa moja ya kuimarisha afya ya mwili. Read More
Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira wakiwa katika Semina kuhusu Mipango na Mikakati ya Serikali ya Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira iliyotolewa na Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dodoma Februari 13, 2026. Read More
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akifanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Bw. Peter Nalitolela, mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 13 Februari 2026, Dodoma. Read More
Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Baraka Luvanda akiwasili rasmi katika Ofisi ya Makamu wa Rais iliyopo Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Februari 12, 2026 baada ya kuapishwa Ikulu, Dar es Salaam hivi karibuni. Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akizungumza wakati wa semina ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Muungano na Mazingira katika ukumbi wa Pius Msekwa Jijini Dodoma leo Februari 11, 2026. Read More
Wataalamu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Burkina Faso wakiwa katika kikao cha kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya usimamizi wa mazingira katika shughuli za uchimbaji wa madini pamoja na taratibu za ufungaji wa migodi Jijini Dodoma Februari 10, 2026. Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akimtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda nyumbani kwake Dodoma Februari 10, 2026. Read More
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akizungumza katika Mkutano na wadau kutoka Jumuiya ya Vyombo vya Moto vitumiavyo Umeme Tanzania (TAEMA) pamoja na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) jijini Dar es Salaam Februari 09, 2026 Read More
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Ndogo
Kawaida
Kubwa