Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. George Masaju wakati aliposhiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini yaliyofanyika Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, Tambukareli, Jijini Dodoma kushiriki , leo tarehe 02 Februari 2026.
Read More