Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi (katikati) akimsikiliza Mwakilishi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) nchini Tanzania Bi. Clara Makenya (kulia) walipokutana katika Ofisi za Makamu wa Rais, Mtumba, Dodoma Mei 6,2026. Kushoto ni Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Viwanda la Umoja wa Mataifa (UNIDO) nchini Tanzania Bi. Lorence Ansermet.
Read More