Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akimwagilia mti aina ya Mdodoma, mara baada ya kupanda mti huo, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi – Sokoine,wakati akifungua Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Kampeni ya Upandaji Miti Kitaifa, iliyofanyika mkoani Lindi, leo tarehe 19 Machi 2026.
Read More