Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi alikifanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kimataifa wa Nchi za Ulaya, Wizara ya Mazingira na Usalama wa Nishati ya Italia Bi. Ambra Migliorisi, kikao kilichofanyika Juni 14, 2026, jijini Bonn, Ujerumani wakati wa Mkutano wa 64 wa Kamati za Utekelezaji na Sayansi na Ushauri chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi ukiendelea.
Read More