Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akizungumza wakati akizindua Bodi ya Kituo Taifa cha Kuratibu Kaboni (NCMC), Machi 6, 2026 jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Festo Dugange na Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Dkt Albina Chuwa.
Read More