Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) ,Ofisi ya Makamu wa Rais, Balozi Baraka Luvanda kwa niaba ya Katibu Mkuu, Dkt. Richard Muyungi akifungua mafunzo kuhusu matumizi ya Mfumo wa e-Utendaji (PEPMIS), yaliyofanyika Julai 17, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dodoma.
Read More