Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akifanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Bw. Peter Nalitolela, mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 13 Februari 2026, Dodoma. Read More
Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Baraka Luvanda akiwasili rasmi katika Ofisi ya Makamu wa Rais iliyopo Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Februari 12, 2026 baada ya kuapishwa Ikulu, Dar es Salaam hivi karibuni. Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akizungumza wakati wa semina ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Muungano na Mazingira katika ukumbi wa Pius Msekwa Jijini Dodoma leo Februari 11, 2026. Read More
Wataalamu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Burkina Faso wakiwa katika kikao cha kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya usimamizi wa mazingira katika shughuli za uchimbaji wa madini pamoja na taratibu za ufungaji wa migodi Jijini Dodoma Februari 10, 2026. Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akimtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda nyumbani kwake Dodoma Februari 10, 2026. Read More
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akizungumza katika Mkutano na wadau kutoka Jumuiya ya Vyombo vya Moto vitumiavyo Umeme Tanzania (TAEMA) pamoja na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) jijini Dar es Salaam Februari 09, 2026 Read More
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akihutubia wakati wa Uzinduzi wa Mpango wa Ushirikiano kati ya Taasisi za Elimu na Viwanda uliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 09 Februari 2026. Read More
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange akimkaribisha Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Balozi Baraka Luvanda (kushoto) alipowasili katika Ofisi ya Makamu wa Rais Luthuli jijini Dar es Salaam mara baada ya kuapishwa Ikulu, leo Februari 09, 2026. Katikati ni katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi. Read More
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Ndogo
Kawaida
Kubwa