Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Watalaam wa Magonjwa ya Saratani katika Mfumo wa Fahamu wa Nchi za Kusini Mwa Jangwa la Sahara (SNOSSA), unaofanyika katika Hoteli ya Johari Rotana, Jijini Dar es Salaam. Tarehe 13 Julai 2026.
Read More