Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akizungumza wakati akifungua Kongamano kuhusu Muungano kwa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Zanzibar lililofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Februari 19, 2026,.
Read More