Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi akizungumza na Mkurugenzi na Mwakilishi wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) nchini Tanzania, Bw. Seth Meng walipokutana katika Ofisi za Makamu wa Rais, Mtumba, Dodoma Mei 5,2026.
Read More