Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akikabidhiwa tuzo tuzo iliyotolewa na Chama cha Waandishi wa Waendesha Ofisi Tanzania (TAPSEA) wakati wa Mkutano wa 13 wa Kitaaluma wa Chama hicho unaofanyika katika Ukumbi wa Ngurdoto Mkoani Arusha tarehe 21 Mei 2026. Wanaokabidhi ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Dkt. Haroun Ali Suleiman pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete.
Read More