Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akiambata na viongozi mbalimbali kukagua miundombinu ya Uhifadhi na Utunzaji wa Mazingira katika Kiwanda cha Ziwa Steel Matela wilayani Magu mkoani Mwanza alipokuwa kwenye ziara ya mkoani humo, Machi 13, 2026.
Read More