Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mkakati wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kuhusu Ufadhili wa Kijani kwa sekta ya kilimo 2025–2027, katika hafla iliyofanyika Mei 12, 2026 jijini Dar es Salaam.
Read More