Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiweka saini katika kitabu cha maombolezo, kufuatia kifo cha Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM na Mbunge wa Viti Maalum Mstaafu, Marehemu Munde Tambwe, wakati alipowasili nyumbani kwa marehemu , mtaa wa Cheyo, Mkoani Tabora, kushiriki Dua pamoja na Mazishi. Tarehe 04 Februari 2026.
Read More