Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Zanzibar Mhe. Lela Mussa, Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Wanu Hafidh Ameir, pamoja na Viongozi mbalimbali, akikata utepe kuashiria Ufunguzi wa Jengo la Dakhalia katika Skuli ya Sekondari ya Hasnuu Makame iliyopo Kibuteni Unguja, Zanzibar, ikiwa ni shamrashamra ya Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival 2026), leo tarehe 11 Agosti 2026.
Read More