Naibu Katibu Mkuu (Mazingira), Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Maduhu Isaac Kazi, akitoa hotuba ya ufunguzi wakati wa kikao kazi cha tathmini ya utekelezaji wa shughuli za Ofisi ya Makamu wa Rais kwa mwaka wa fedha 2025/26 na kujadili mwelekeo wa utekelezaji wa majukumu kwa mwaka wa fedha 2026/27, kilichofanyika leo, Agosti 4, 2026, katika Hoteli ya Pan African Postal Union (PAPU), jijini Arusha.
Read More