Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Matebete kilichopo tarafa ya Ilongo, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya ambapo alifika hapo leo Mei 25, 2026 kwa ajili ya Kuzindua Kiwanda cha Kusindika Maziwa kilichotengenezwa kwa ufadhili wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi wa Bayoanuai Tanzania (SLR) unaotekelezwa chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais.
Read More