Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi akiwasili katika Uwanja wa Amani Complex, Zanzibar kuzungumza na wachezaji wa timu ya netiboli ya Ofisi hiyo inayoshiriki mashindano ya Ligi ya Muungano ya Netiboli. Anayempokea ni Mkurugenzi wa Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Juma Mohammed Salum.
Read More