Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Kemilembe Mutasa akizungumza wakati wa warsha ya uelimishaji kwa waandishi wa habari kuhusu mkataba wa minamata na mpango-kazi wa kupunguza matumizi ya Zebaki kwa wachimbaji wadogo wa dhahabu iliyofanyika leo Septemba 27, 2021 jijini Dodoma.
 
Afisa Mazingira kutoka Tume ya Madini, Bw. Abel Madaha akiwasilisha mada wakati wa warsha ya uelimishaji kwa waandishi wa habari kuhusu mkataba wa minamata na mpango-kazi wa kupunguza matumizi ya Zebaki kwa wachimbaji wadogo wa dhahabu iliyofanyika leo Septemba 27, 2021 jijini Dodoma.
 
 
Afisa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Onesphory Kamukuru akiwasilisha mada wakati wa warsha ya uelimishaji kwa waandishi wa habari kuhusu mkataba wa minamata na mpango-kazi wa kupunguza matumizi ya Zebaki kwa wachimbaji wadogo wa dhahabu iliyofanyika leo Septemba 27, 2021 jijini Dodoma.
 

By admin

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *