Wananchi mbalimbali wa Wilaya ya Mafia mkoani Pwani wakijumuika katika futari iliyoandaliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango aliyoitoa kwaajili ya wakazi wa Wilaya hiyo hususani watu wa makundi maalum wakiwemo walemavu, wazee na watoto wanaoishi katika mazingira magumu. Tarehe 07 Aprili 2024.

By admin

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *